‘Jifunze kuwa mpole na kuheshimu kila mtu,’ Ray c lectures Diamond Platinumz

Diamond and Ray C (PHOTO/COURTESY)

Celebrated singer Rehema Chalamila aka Ray C is not happy with the recent beef surrounding music rivals; Diamond Platinumz, Harmonise and Ali Kiba.

In a series of posts on her Instagram page, the veteran singer told Diamond to be humble and learn to respect other artists.

Hii ni kwako @diamondplatnumz tusitengenezeane chuki! Neno kubwa sana dogo! Sasa hebu ishi kwa hili neno ulilolitamka hata mungu atafurahi na atazidi kufungua Baraka mbele yako! Acha maneno mengi wewe piga kazi tu! Uwanja wako mzee baba. Nakukubali sana sema kuna muda unakera dogo. Mi ndo dada ako afu ndo nshakuambia ukinimind kimpango wako ila nakukubali na unajua sana sema una maneno flani yani yanaudhi sana!” She said.

The Wanifuatia nini hitmaker went on to remind Chibu of how he once showed respect to fellow artists and the cordial relationship that existed between them.

Siku niliyokutana na wewe tukaongea nilikukubali sana maana ulinionesha upendo wa dhati kutoka moyoni na kila mtu anaenijua anajua nakukubali.”

ALSO READ: Don’t mess with me, I’m a virgin – Stivo Simple Boy

Wasanii wenzio wanatafuta rizki wewe unaanza kupiga madongo kabla hata ya shughuli! Ina maana hutaki wenzio nao wang’ae! Roho mbaya! Umekosea sana. Tabia mbaya! Ishi na wenzio vizuri! Watakie kheri hata kama uhusiki na shughuli,” she added.

She went on to warn the African Beauty hitmaker that he should not sit pretty but instead be on the lookout of his aides as they risk his downfall.

Ila kuna watu flani wanaokuzunguka wanakuharibia sana yaani. Vijembe hata havikupendezi mdogo wangu na hao wala hawakutakii mema wanakupamba tu ili mradi uharibu tu hawana nia njema na wewe! Unapendwa sanaaa sema mdomo dogo mdomo! Hebu tulia kidogo tupe tu minyimbo bana achana na hizi mambo aisee.”

Heshima na Nidhamu ni vitu vikubwa mno kwa watu waliokutangulia!Dharau na Kejeli za kitoto zitakutengenezea ukuta mbaya sana kwenye maisha yako. Jifunze kuwa mpole na kuheshimu kila mtu. Maisha hayatabiriki. Leo upo kesho haupo. Ndio maisha Yalivyo. Nawatakia wiki njema,”she said.

Ray C’s outburst comes barely weeks after Diamond trolled music rival Ali Kiba and Harmonize over reduced concert tickets.

It is reported that the bongo Flava duo reduced their concert ticket prices from Sh 500 to Sh 150.