‘I almost lost my life while shooting music video,’ Top Tanzanian Singer recounts

PHOTO/COURTESY

WCB,s signee Abdul Juma better known as Lava Lava has opened up on how he almost lost his life while shooting a music video in Mombasa.

Speaking to Mzazi Wily M Tuva on Mambo Mseto the singer recalled the events surrounding that particular day that almost led to his fateful shooting.

He alleged that a certain man carrying a pistol followed him into his hotel room claiming that he was seducing his wife.

ALSO READ:Otile Brown speaks on Yaya Centre accident

Niko nafanya video na Susumila niko Mombasa mimi nimefuatwa hotelini na mtu ana bastola anadai ni mimi naongea na mkewe. Meneja wa Susumila yeye bahati nzuri alikuwa anachat na yule mwanamke akamwambia Lavalava sisi tumemleta hapa tuko naye kwa hiyo inamaana hio number unachat nayo inawezekana sio yeye,” he said.

 “Lakini wacha tufuatilie labda kama hio namba anayo Lavalava kwa hivyo akawa anakuja hotelini kwangu ambako nimekaa guest akawa anapiga tena ile namba aone kama mimi nitaipokea ama nina simu ya namna ile. Lakini kadri nilivyokuwa naongea naye akawa anaipiga pale pale akawa haoni kama inapokelewa,” he went on.

Lava Lava allegations comes after a series of crime reports in the coastal region. Earlier this year several people were reportedly injured after a group of about 30 youths, suspected to be a criminal gang known as Wakali Kwanza raided their area injuring them.