Ali Kiba clears air on relationship with Diamond Platnumz

Ali Kiba and Diamond PHOTO/COURTESY

Bongo Fleva star Ali Kiba has denied claims of dislike between him and celebrated singer Diamond Platnumz.

Speaking to the press in Dar es Salaam Sunday, Kiba reiterated that he harbours no ill-feelings against Platinumz.

Kiba, instead clarified that he respects the Wasafi boss for making huge strides in the music arena, and called for people to continue their support for Diamond.

โ€œNafurahia sana muziki wa Diamond naomba muendelee kumsapoti kwa sababu ni msanii mzuri, anafanya kazi nzuri na anawakilisha nchi yetu,โ€ said Ali Kiba.

The mapenzi ya run dunia hitmaker explained the reason for snubbing Wasafi Festival despite Platinumz extending an olive branch to him, clarifying that he has other aspirations and projects that he wants to work on.

โ€œDiamond nilishamwambia sitoweza kushiriki katika onyesho lolote atakalofanya, nafurahia mafanikio anayopata, kama amepata siwezi kufanya kwa sababu mimi pia nina yangu ya kuyafanikisha, hakuna ugomvi kati yetu.โ€ Said Kiba.

โ€œNilipomjibu nikitumia mfano wa penseli nilimaanisha kuwa aache mambo ya kitoto kwa sababu nilishamjibu, mimi sio mtoto mdogo sirudii tena kujibu, mimi mwanaume na mwanaume anaongea mara moja tu,”

Kiba and Diamond

Kiba wentย  on to thank his fan base, assuring them of more entertaining hits and great shows a head.

โ€œKwa jinsi ambavyo mashabiki wangu wamenionesha upendo kwa miaka 17, nimeamua kuwaletea Alikiba Unforgettable Tour ambayo itakuwa na mambo mengi sana haiishii tu kuwa concert au tour.

โ€œAlikiba Unforgettable Tour itakuwa na mambo makubwa matatu. Kwanza, Ujenzi wa Ndoto kazi kwa vijana, ambapo mimi na wenzangu watakaonishika mkono tutapita mikoani kuzungumza na wanafunzi wa vyuo. Jambo namba pili, ย kwenye Alikiba Unforgettable Tour ni Medical Camp, hapa namshukuru Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu na jopo la madaktari, ambao watatoa mchango wa dawa kwa lengo la kutoa huduma ya afya kwa watu mbalimbali bure kabisa,โ€ noted Ali Kiba.