I’m not a home wreaker: Juma Jux

PHOTO/COURTESY

Tanzanian singer Juma Jux has rubbished reports of having an affair with songstress Ruby.

Speaking to Lil ommy TV Jux said that it was unfortunate that Ruby’s breakup with her baby daddy Kusah was being pinned on him, reiterating  that “nothing has ever ensued between him and the Niwaze hitmaker.”

Kwanza kabisa nasikitika sana inaonekana kwamba mimi ndio sababu. Najua mapenzi I’ve been kwenye mapenzi unajua alafu watu amabo wamekaa tena wana familia kuvunjika alafu unaambiwa wewe ndio sababu ni kitu amabcho si kizuri. Nasikitika kujua hivo kwa sababu sio hivo. Mimi na Ruby hatujawai kuwa na kitu hata ambacho kinakaribia kwenye kuwa na chochote cha kimahusiano zaidi ya Ruby najua ni msanii anafanya mziki mzuri,” he said.

Also Read: You Tube deletes Harmonise song ‘Uno’ over copyright violation

This comes a few days after Ruby announced that she had parted ways with Kusah.

Ruby took to her social media page expressing her displeasure. More so accusing Kusah of domestic abuse.

Apparently, she alleges that Kusah used to beat her with  allegations that she was cheating on him with WCB boss Diamond Pltnumz and Jux.

“Wanawake na wasichana wenzangu ifike muda usidhani kuvumilia vipigo ni mapenzi wala usifikirie kuficha maumivu na haya ndo ustamilivu wa mahusiano ama ndoa kwasababu mwisho huwa sio mzuri na haya ni machache nilioweka wazi kwakuwa sikuwa napost Instagram kuwaonesha Nina mwanaume kamili sana au mzuri sana ila nilifanya kwa kumsupport na kuonesha imani yangu kwake ila malipo yamekuwa fedhea na kuumizwa kiuhalisia.” Read her post.